728x90 AdSpace


Hivi Punde

Tuesday, June 28, 2016

NINGEKUWA FID Q, NINGEMTAFUTA HUYU JAMAA!

Anaitwa Basomarley (Basso), asili yake ni mwanza ila kwa sasa anaishi jijini Dar es salaam, ni jamaa mwenye uwezo mkubwa sana wa kuchana. Pia ni mwandishi mzuri wa mziki miondoko ya hiphop.. Hakika mwanza ni jiji lenye vipaji vikubwa hasa upande wa Hiphop. Kuthibitisha hili msikilize basso kwenye hii cover ya wimbo wa mtu mzima FID Q unaoitwa NENO. Basso kautendea haki mdundo mzuri wa wimbo huu hadi natamani ningekuwa Fid Q ningemtafuta huyu jamaa nifanye naye collable matata
                           BASSO - NENO COVER... Enjoy...

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: NINGEKUWA FID Q, NINGEMTAFUTA HUYU JAMAA! Description: Rating: 5 Reviewed By: Eddy
Scroll to Top