728x90 AdSpace


Hivi Punde

Friday, June 17, 2016

PICHA (6): HUYU NDO CHIDI BEENZ WA SASA.

Siku chache baada ya kutoka sober house bagamoyo, huu ndio muonekano mpya wa msanii mkongwe wa hiphop na bongo fleva nchini 'Chidi Beenz'. Picha hizi amezipost kwenye ukurasa wake wa instagram mpya officialchidibeenz uliofunguliwa juzi tar.15/06/2016. Mpaka sasa ukurasa huo una followers zaidi 28,000.
KILA KHERI CHIDI BEENZ..............................................







Newer Post
Iliyopita
Hii ndiyo habari ya mwisho.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: PICHA (6): HUYU NDO CHIDI BEENZ WA SASA. Description: Rating: 5 Reviewed By: Eddy
Scroll to Top